Welcome to my academic blog where you will find all that concern Mass Communication Perspective in Education, College entertainment and trends
Thursday, January 5, 2012
Mgomo chuo kikuu cha Dodoma waisha.
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma,kitengo cha sanaa na elimu ambao hivi karibuni waligoma kushinikiza kupatiwa fedha za kujikimu hatimaye wamemaliza mgomo wao jana,wanafunzi hao waligoma kushiniZa bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HELSB),wamerudi madarasani baada ya Bodi hiyo kuahidi kuwalipa Ijumaa kwa mujibu wa mwenyekiti wa harakati za kudai fedha za kujikimu Rafiki Rufingo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment